Jifunze Maandiko mbalimbali ya NENO la MUNGU ikiwemo na uchambuzi yakinifu/sahihi kupitia maandishi na mfumo wa sauti(audio)
Saturday, November 4, 2017
karibuni kwa neno la mungu
Naitwa Vicent Mathias Napenda kuwajulisha ya kwamba kuanzia tarehe 01 mwezi wa 11 mwaka huu 2017 nitaanza kupost Masomo ya Biblia / NENO la MUNGU na mengine mengi yahusuyo INJILI kwa ujumla wake kupitia hii hii blogSpot yangu iitwayo Kwa Mtini Jifunzeni blog.
No comments:
Post a Comment